IQNA

UAE: Mashindano ya Kimataifa ya Qurani kuanza Novemba 1

UAE: Mashindano ya Kimataifa ya Qurani kuanza Novemba 1

IQNA – Mashindano makubwa ya Qurani yatakayoshirikisha washiriki kutoka ndani na nje ya nchi huko Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yataanza rasmi tarehe 1 Novemba.
16:57 , 2025 Oct 29
Nakala Kubwa Zaidi ya Qurani Duniani Iliyoandikwa Kwa Mkono

Nakala Kubwa Zaidi ya Qurani Duniani Iliyoandikwa Kwa Mkono

IQNA – Mafanikio ya kihistoria katika sanaa ya hati za Kiislamu yamezinduliwa mjini Istanbul: Ni nakala kubwa zaidi ya Qur'ani duniani iliyoandikwa kwa mkono, matokeo ya juhudi za miaka sita bila kukata tamaa.
16:51 , 2025 Oct 29
Kiongozi Mkuu wa Al-Azhar Misri Aitaka Italia Itambue Palestina

Kiongozi Mkuu wa Al-Azhar Misri Aitaka Italia Itambue Palestina

IQNA – Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri amebainisha matumaini kuwa Italia itaungana na idadi inayoongezeka ya mataifa ambayo tayari yametambua rasmi taifa la Palestina.
16:45 , 2025 Oct 29
Kampeni ya kusambaza nakala  50,000 Qur'ani nchini Mauritania

Kampeni ya kusambaza nakala 50,000 Qur'ani nchini Mauritania

IQNA – Jumuiya ya Qur'ani Tukufu ya Mauritania imetangaza uzinduzi wa kampeni ya kusambaza nakala 50,000 za Qurani nchini humo.
16:41 , 2025 Oct 29
Papa Leo Kutembelea 'Msikiti wa Sultan Ahmed'  Istanbul katika Ziara yake ya Kwanza Kimataifa

Papa Leo Kutembelea 'Msikiti wa Sultan Ahmed' Istanbul katika Ziara yake ya Kwanza Kimataifa

IQNA – Kiongozi wa Kanisa Katoliki anapanga kusafiri kuelekea nchini Uturuki, ambapo atatembelea Msikiti wa Sultan Ahmed maarufu kama Blue Mosque, ulioko mjini Istanbul.
16:35 , 2025 Oct 29
Msomi: Iran ni kinara wa kustawisha Qur’ani Tukufu katika Ulimwengu wa Kiislamu

Msomi: Iran ni kinara wa kustawisha Qur’ani Tukufu katika Ulimwengu wa Kiislamu

IQNA – Mkuu wa Taasisi ya Wakfu na Misaada ya Iran ameielezea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ndiyo kinara wa kukuza Qur’ani Tukufu katika ulimwengu wa Kiislamu.
09:40 , 2025 Oct 28
Haki ya Jamii Katika Utajiri wa Asili: Msingi wa Ushirikiano

Haki ya Jamii Katika Utajiri wa Asili: Msingi wa Ushirikiano

IQNA – Mbali na ukweli kwamba mali kwa asili ni ya Mwenyezi Mungu ambaye ameikabidhi kwa mwanadamu, utajiri wa asili pia ni haki ya wanajamii wote, kwani rasilimali hizi ziliumbwa kwa ajili ya watu wote, si kwa ajili ya mtu binafsi au kikundi maalum.
07:36 , 2025 Oct 28
Serikali ya Marekani yalaani kwa kumkamata mwandishi mtetezi wa Palestina

Serikali ya Marekani yalaani kwa kumkamata mwandishi mtetezi wa Palestina

IQNA-Mwandishi wa habari raia wa Uingereza anayejulikana kwa kuunga mkono Palestina amekamatwa nchini Marekani na shirika la Uhamiaji na Forodha (ICE), kufuatia shinikizo kutoka kwa makundi yanayoiunga mkono Israel.
07:16 , 2025 Oct 28
Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Iran: Washindi Watangazwa

Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Iran: Washindi Watangazwa

IQNA – Kamati ya maandalizi ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran imetangaza rasmi majina ya washindi wa tukio hilo mashuhuri la Kiqur’ani.
07:09 , 2025 Oct 28
Iran yatilia mkazo utalii  'Halal' kwa lengo la kuimarisha mahusiano na ulimwengu wa Kiislamu

Iran yatilia mkazo utalii 'Halal' kwa lengo la kuimarisha mahusiano na ulimwengu wa Kiislamu

IQNA – Waziri wa Urithi wa Kitamaduni, Utalii na Sanaa za Mikono wa Iran, Seyyed Reza Salehi Amiri, amesema kuwa utalii 'Halal' ni jukwaa muhimu katika kukuza mwingiliano wa kitamaduni na kuwavutia wageni Waislamu.
07:01 , 2025 Oct 28
Tamasha la Nne la Homam Laangazia Sanaa ya Wasanii Wenye Ulemavu

Tamasha la Nne la Homam Laangazia Sanaa ya Wasanii Wenye Ulemavu

IQNA – Toleo la nne la Tamasha la Homam, lililoandaliwa kwa ajili ya kuonyesha kazi za sanaa za wasanii wenye ulemavu, limefunguliwa rasmi tarehe 23 Oktoba 2025 katika Chuo cha Sanaa cha Iran kilichopo Tehran. Tamasha hilo linaonyesha kazi 415 za sanaa zinazojumuisha uchoraji, michoro, kazi za mikono, sanaa za kitamaduni, pamoja na maonesho ya moja kwa moja ya muziki na tamthilia.
16:12 , 2025 Oct 27
“Alisimulia Upya Tukio la Karbala”: Mwanazuoni Azungumzia Uongozi wa Bibi Zaynab (SA) Katika Upashaji Habari

“Alisimulia Upya Tukio la Karbala”: Mwanazuoni Azungumzia Uongozi wa Bibi Zaynab (SA) Katika Upashaji Habari

IQNA – Bibi Zaynab (SA) “ndiye aliyekuwa wa kwanza kukabiliana na upotoshaji kwa kutumia mbinu zinazofanana na zile za vyombo vya habari vya leo—kufichua, kutafsiri upya, na kusimulia tena ukweli,” amesema mtafiti kutoka Iran.
16:10 , 2025 Oct 27
Maelfu ya wenyeji wahudhuria Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'ani Sanandaj

Maelfu ya wenyeji wahudhuria Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'ani Sanandaj

IQNA – Kwa wastani, zaidi ya watu 5,000 kutoka mkoa wa Kordestan nchini Iran huhudhuria mashindano ya kitaifa ya Qur'an kila siku, kwa mujibu wa afisa mmoja.
15:54 , 2025 Oct 27
Mfungwa wa Kipalestina asimulia misingi ya kuhifadhi Qur'ani licha ya mateso ya Gaza

Mfungwa wa Kipalestina asimulia misingi ya kuhifadhi Qur'ani licha ya mateso ya Gaza

IQNA – Mfungwa wa Kipalestina aliyeachiwa hivi karibuni amefichua mambo manne muhimu yanayochangia kuenea kwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu katika Ukanda wa Gaza, licha ya mzingiro, vita na uharibifu.
15:50 , 2025 Oct 27
Washindi wa Mashindano ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'an Mauritania wakabidhiwa zawadi

Washindi wa Mashindano ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'an Mauritania wakabidhiwa zawadi

IQNA – Hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa toleo la 12 la mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu nchini Mauritania imefanyika katika mji mkuu wa taifa hilo.
15:42 , 2025 Oct 27
1