IQNA

Klipu | Ujitolee kwake kwa ukamilif

Klipu | Ujitolee kwake kwa ukamilif

IQNA- Katika dunia ya leo yenye pilika pilika nyingi na mwendo wa haraka, wakati mwingine tunahitaji kusimama kwa muda mfupi na kupata utulivu. Mfululizo wa "Sauti ya Wahyi" kwa kuchagua baadhi ya aya kwenye Qur'ani Tukufu na sauti ya kupendeza ya Ustadh Behrouz Razawi, ni mwaliko wa safari ya kiroho na yenye kuinua roho. Mfululizo huu mfupi lakini wenye maudhui ya kina, unawaletea nyakati za utulivu na matumaini.
14:53 , 2025 Dec 30
Nafasi ya Istighfar Katika Kuvuta Rehema za Mwenyezi Mungu

Nafasi ya Istighfar Katika Kuvuta Rehema za Mwenyezi Mungu

IQNA – Athari za Istighfar (kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu) hazihusiani tu na kusamehewa dhambi, bali pia huondoa vizuizi vinavyokwamisha baraka na rehema za Mwenyezi Mungu kumfikia mwanadamu.
14:44 , 2025 Dec 30
Nchi 48 zashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Algeria

Nchi 48 zashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Algeria

IQNA – Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Algeria yameanza kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka zaidi ya nchi 48.
14:38 , 2025 Dec 30
Wahifadhi Qur’ani wa kike waenziwa katika kambi ya wakimbizi Gaza

Wahifadhi Qur’ani wa kike waenziwa katika kambi ya wakimbizi Gaza

IQNA – Hafla maalumu imefanyika Gaza kuadhimisha mahafali ya wanafunzi kadhaa wa kike waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
14:31 , 2025 Dec 30
Wajumbe wa Baraza la Sera la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran watangazwa

Wajumbe wa Baraza la Sera la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran watangazwa

IQNA – Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu wa Iran ametangaza jina la mwenyekiti wa Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani mjini Tehran, pamoja na wajumbe wengine wa baraza la kutunga sera za hafla hiyo.
14:13 , 2025 Dec 30
Kikao cha Khatmul Qur’an chafanyika Oman jijini Salalah

Kikao cha Khatmul Qur’an chafanyika Oman jijini Salalah

IQNA – Hafla ya Khatm Qur’an imefanyika katika mji wa Salalah, Oman, ikihusisha washiriki 110 waliokuwa wamehifadhi Qur’ani Tukufu.
14:01 , 2025 Dec 30
Bendera ya Haram ya Imam Ali (AS) yabadilishwa kabla ya tukio tukufu

Bendera ya Haram ya Imam Ali (AS) yabadilishwa kabla ya tukio tukufu

IQNA – Kadri maadhimisho ya kuzaliwa kwa Imam Ali (AS) yanavyokaribia, bendera ya haram ya Imam huyo wa kwanza imebadilishwa katika hafla maalumu Jumapili.
13:23 , 2025 Dec 29
Meya wa Kwanza Mwislamu kuchukua usukani wa New York wiki hii

Meya wa Kwanza Mwislamu kuchukua usukani wa New York wiki hii

IQNA – Zohran Mamdani ataapishwa kuwa meya wa 110 wa Jiji la New York wiki hii, ambapo ataweka historia kwa kuwa Mwislamu wa kwanza kuliongoza jiji kubwa zaidi nchini Marekani.
13:17 , 2025 Dec 29
Zabuni za huduma za Iftar zatangazwa kwa Ramadhani katika Misikiti ya Makkah na Madinah

Zabuni za huduma za Iftar zatangazwa kwa Ramadhani katika Misikiti ya Makkah na Madinah

IQNA – Kampuni zinazobobea katika huduma za chakula kwa wingi zinakaribishwa kuomba nafasi ya heshima ya kutoa futari katika Msikiti Mtukufu wa Makkah (Masjid al Haram) na Msikiti wa Mtume (SAW), Al Masjid An Nabawi mjini Madinah wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani 2026.
13:09 , 2025 Dec 29
Migahawa ya Seoul yabadilika kukidhi wimbi la watalii Waislamu kwa menyu 'Halal'

Migahawa ya Seoul yabadilika kukidhi wimbi la watalii Waislamu kwa menyu 'Halal'

IQNA – Mapinduzi ya kimyakimya ya upishi yanaendelea mjini Seoul, Korea Kusini yakichochewa na mifuko na ladha za kundi linalokua kwa kasi: watalii Waislamu.
12:59 , 2025 Dec 29
Sauti | Tilawa ya Qur’ani Tukufu kwa Sauti ya Ridha Javidy

Sauti | Tilawa ya Qur’ani Tukufu kwa Sauti ya Ridha Javidy

IQNA – Sauti ya tilawa ya aya za 22 hadi 26 za Surah Ash-Shura pamoja na aya za Surah Al-Kawthar imetolewa kwa wafuatiliaji wa tovuti ya IQNA kwa sauti ya Ridha Javidy, qari wa Haram ya Imam Ridha (AS), jijini Mashhad, Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
16:02 , 2025 Dec 28
Kipindi cha Qur'ani cha “Dawlat al-Tilawa”  Misri katika hatua ya Mwisho

Kipindi cha Qur'ani cha “Dawlat al-Tilawa” Misri katika hatua ya Mwisho

IQNA – Kipindi cha 13 cha shindano la vipaji vya Qur’ani Tukufu nchini Misri maarufu Dawlat al-Tilawa kilirushwa hewani wiki hii, kikiashiria kuanza kwa hatua ya mwisho ya mashindano.
15:56 , 2025 Dec 28
Mahitaji ya Tafsiri za Qur’ani kwa Kiswidi yaongezeka baada ya tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur’ani

Mahitaji ya Tafsiri za Qur’ani kwa Kiswidi yaongezeka baada ya tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur’ani

IQNA – Baada ya tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur’ani Tukufu mbele ya Msikiti Mkuu wa Stockholm, mahitaji ya kununua tarjuma au tafsiri za Qur’ani kwa lugha ya Kiswidi yameongezeka kwa kiwango kikubwa.
15:50 , 2025 Dec 28
Bendera ya “Ali Aliyezaliwa Ndani ya Kaaba” kupandishwa juu ya Kuba ya Haram ya Imam Ali (AS)

Bendera ya “Ali Aliyezaliwa Ndani ya Kaaba” kupandishwa juu ya Kuba ya Haram ya Imam Ali (AS)

IQNA – Uwanja wa Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, leo tarehe 28 Disemba 2025 umeshuhudia hafla ya kupandisha bendera maalum.
15:44 , 2025 Dec 28
Wanafunzi Wasomea Qur’ani kwa Sauti ya Pamoja Katika Msikiti Mkuu wa Algiers

Wanafunzi Wasomea Qur’ani kwa Sauti ya Pamoja Katika Msikiti Mkuu wa Algiers

IQNA – Kundi la wanafunzi Waalgeria wanaoishi nje ya nchi walisoma kwa pamoja aya za Surah Al-Kahf katika Msikiti Mkuu wa Algiers.
15:39 , 2025 Dec 28
1