IQNA

Likizo ya siku sita Karbala, Iraq, kwa ajili ya Arbaeen

Likizo ya siku sita Karbala, Iraq, kwa ajili ya Arbaeen

IQNA – Mkoa wa Karbala nchini Iraq umetangaza likizo rasmi kuanzia Jumatano hadi Jumatatu kwa ajili ya mapokezi na huduma kwa mazuwari wa Arbaeen.
17:21 , 2026 Jul 28
Wapalestina wakaribisha hatua ya Ireland ya kupiga marufuku bidhaa za vitongoji haramu vya Kizayuni

Wapalestina wakaribisha hatua ya Ireland ya kupiga marufuku bidhaa za vitongoji haramu vya Kizayuni

QNA – Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imekaribisha kupitishwa kwa sheria nchini Ireland inayopiga marufuku uingizaji wa bidhaa kutoka vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina. Wizara hiyo imetoa wito kwa mataifa na mabunge yote duniani kuchukua hatua kama hiyo dhidi ya utawala unaokalia ardhi kwa mabavu.
17:16 , 2026 Jul 28
Mwandishi wa Hati wa Yemen anayehafidhi urithi asili wa uandishi wa Qur’ani Tukufu

Mwandishi wa Hati wa Yemen anayehafidhi urithi asili wa uandishi wa Qur’ani Tukufu

IQNA – Ali Qassem ni mwandishi wa hati (khatati au kaligrafia) kutoka nchini Yemen ambaye amejitolea katika kuhifadhi mapokeo ya kale ya uandishi wa Qur’ani Tukufu kwa kutumia hati ya Kiuthmaniya (Rasm al-Uthmani).
17:11 , 2026 Jul 28
Kozi mjini Karbala yalenga kuimarisha ujuzi wa majaji wa mashindano ya Qur’ani

Kozi mjini Karbala yalenga kuimarisha ujuzi wa majaji wa mashindano ya Qur’ani

IQNA - Kozi ya Qur’ani imefanyika mjini Karbala, Iraq, kwa lengo la kuimarisha ujuzi wa majaji wanawake wa mashindano ya Qur’ani.
17:05 , 2026 Jul 28
Tamasha la Tatu la Kiislamu la “Salam” Lafanyika Kosovo

Tamasha la Tatu la Kiislamu la “Salam” Lafanyika Kosovo

IQNA - Tamasha la Salam 2026 limefanyika nchini Kosovo kwa ushiriki wa familia za Kiislamu, sambamba na uwasilishaji wa programu za kitamaduni na kisanii.
16:56 , 2026 Jul 28
Wanazuoni wa Iran na Iraq mjini Baghdad wasisitiza Umoja wa Kiislamu

Wanazuoni wa Iran na Iraq mjini Baghdad wasisitiza Umoja wa Kiislamu

IQNA – Mkutano wa wanazuoni wa Kisunni na Kishia kutoka Iran na Iraq ulifanyika siku ya Ijumaa katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
10:44 , 2026 Jul 27
Palestina yapongeza marufuku ya Ireland kwa bidhaa zitokazo makazi Haramu ya Wazayuni

Palestina yapongeza marufuku ya Ireland kwa bidhaa zitokazo makazi Haramu ya Wazayuni

IQNA – Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imekaribisha hatua ya Ireland kutunga sheria inayopiga marufuku uagizaji wa bidhaa kutoka katika makazi haramu ya Kizayuni yaliyoko katika ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu na Israel, huku ikizitaka nchi na mabunge duniani kuchukua hatua kama hiyo.
10:33 , 2026 Jul 27
Lango Bahari La Hormuz na mapambano ya kudhibiti mfumo wa usalama na utambulisho wa Asia Magharibi

Lango Bahari La Hormuz na mapambano ya kudhibiti mfumo wa usalama na utambulisho wa Asia Magharibi

IQNA – Mchambuzi wa kisiasa kutoka Lebanon anaamini kuwa mvutano unaoendelea katika Lango Bahari La Hormuz si mapambano ya kawaida juu ya njia ya majini, bali ni vita vikali vya kuamua hatima na utambulisho wa mfumo wa kiusalama katika eneo la Asia Magharibi.
10:22 , 2026 Jul 27
Kiongozi Muadhamu: Ustahimilivu wa Hizbullah ni ujumbe wa kutia hamasa mataifa huru

Kiongozi Muadhamu: Ustahimilivu wa Hizbullah ni ujumbe wa kutia hamasa mataifa huru

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ameisifu harakati ya Hizbullah kwa msimamo wake thabiti na usioyumba katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema, kuwa uimara wa harakati hiyo ya Lebanon ni ujumbe wenye nguvu wa ukombozi kwa mataifa yaliyodhulumiwa duniani kote.
06:13 , 2026 Jul 27
Sheikh Awad Al-Faradi, Qari mwenye kutia Hamasa katika “Dawlat al-Tilawa” ya Misri + Video

Sheikh Awad Al-Faradi, Qari mwenye kutia Hamasa katika “Dawlat al-Tilawa” ya Misri + Video

IQNA – Sheikh Awad Abdullah Al-Faradi si mshiriki mwenye umri mkubwa zaidi pekee, bali pia ndiye aliyewavutia na kuwapa hamasa kubwa zaidi wengi katika Mashindano ya televisheni ya Qur’ani Tukufu ya Misri ambayo ni maarufu kama Dawlat al-Tilawa.
16:13 , 2026 Jul 26
Karbala yaandaa Kongamano la 5 la Kimataifa la Nidaa al-Aqsa

Karbala yaandaa Kongamano la 5 la Kimataifa la Nidaa al-Aqsa

IQNA – Mji mtukufu wa Karbala nchini Iraq unaandaa Kongamano la 5 la Kimataifa la Nidaa al-Aqsa (Wito wa Al-Aqsa).
16:05 , 2026 Jul 26
Kurekodiwa Qiraa ya Tartil kulikuwa hatua muhimu katika khidma kwa Qur’ani

Kurekodiwa Qiraa ya Tartil kulikuwa hatua muhimu katika khidma kwa Qur’ani

IQNA – Wizara ya Awqaf ya Misri imeadhimisha kumbukumbu ya kukamilika kwa rekodi ya kwanza ya kisomo au qiraa ya Tartil ya Qur’ani Tukufu mnamo Julai 23, 1961.
15:56 , 2026 Jul 26
Iran yaanza rasmi kutuma Mazuwari Iraq kwa ajili ya Arbaeen

Iran yaanza rasmi kutuma Mazuwari Iraq kwa ajili ya Arbaeen

IQNA – Makao Makuu ya Kituo cha Arbaeen nchini Iran yametangaza kuanza rasmi kwa utumaji wa mazuwari kuelekea Iraq kwa ajili ya msafara wa Arbaeen wa mwaka huu.
15:49 , 2026 Jul 26
Awamu Mpya ya Muqawama: Hamas yaangazia mabadiliko katika Ukingo wa Magharibi

Awamu Mpya ya Muqawama: Hamas yaangazia mabadiliko katika Ukingo wa Magharibi

IQNA – Kuongezeka kwa operesheni za muqawama au mapambano ya ukombozi katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Israel kunaakisi kushindwa kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuwazuia Wapalestina kusimama kutetea ardhi yao, haki zao, na maeneo yao matukufu.
15:41 , 2026 Jul 26
Mwanaharakati wa Kenya: Kiongozi Shahidi alikuwa shujaa wa waliodhulumiwa

Mwanaharakati wa Kenya: Kiongozi Shahidi alikuwa shujaa wa waliodhulumiwa

IQNA – Booker Ngesa Omole, mwanaharakati wa kisiasa kutoka Kenya, amesifu fikra na turathi za Kiongozi aliyeuawa shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, akimtaja Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei kuwa shujaa wa waliodhulumiwa.
16:08 , 2026 Jul 25
7 8 9 10