IQNA

Ujumbe wa Kosovo washinda Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani mjini Skopje

Ujumbe wa Kosovo washinda Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani mjini Skopje

IQNA – Wasomaji na mahafidh wa Qur'ani Tukufu kutoka Kosovo wameibuka kuwa ujumbe uliofanya vyema zaidi katika Mashindano ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani ya Balkan yaliyofanyika mjini Skopje, mji mkuu wa Macedonia Kaskazini.
15:48 , 2026 Aug 03
Mashindano ya Kuhifadhi Quran Tukufu mkoani Nineveh, Iraq

Mashindano ya Kuhifadhi Quran Tukufu mkoani Nineveh, Iraq

IQNA-Mashindano makubwa ya kuhifadhi Quran Tukufu yameanza rasmi siku ya Jumamosi katika mkoa wa Nineveh nchini Iraq, yakishirikisha jumla ya mahafidhi elfu ishirini kutoka rika zote
15:43 , 2026 Aug 03
Zaidi ya wanahabari 700 wanaakisi matembezi ya Arbaeen jijini Karbala

Zaidi ya wanahabari 700 wanaakisi matembezi ya Arbaeen jijini Karbala

IQNA – Mbali na uwepo wa wanahabari 143 wa ndani na wanaharakati wa vyombo vya habari wanaohabarisha kuhusu matembezi ya Arbaeen, karibu wanahabari 600, wanaharakati wa vyombo vya habari, wapiga picha, na wafanyakazi wa kiufundi kutoka nchi mbalimbali wanashiriki katika kuangazia tukio hili adhimu.
15:30 , 2026 Aug 03
Ukamilifu na Ujumuishi wa Qur’ani Tukufu

Ukamilifu na Ujumuishi wa Qur’ani Tukufu

IQNA-Qur’ani Tukufu, kitabu cha mwongozo na mwamko wa mwanadamu, katika aya zake inawasilisha ujumbe ulio wazi na wenye kutoa mwanga kwa nyakati zote na kwa wanadamu wote; jumbe hizi zinajumuisha kila kitu kuanzia utunzaji wa imani na maadili ya mtu binafsi, hadi kusimama imara katika dhiki, kuwa na matumaini kwa rehema za Mwenyezi Mungu, uwajibikaji katika jamii, kuepuka kughafilika, na kusonga mbele katika njia ya haki.
15:13 , 2026 Aug 03
Huduma kwa Mazuwar wa Arbaeen katika Kivuko cha Mpaka cha Shalamcheh

Huduma kwa Mazuwar wa Arbaeen katika Kivuko cha Mpaka cha Shalamcheh

IQNA – Matembezi ya Arbaeen, mkusanyiko mkubwa zaidi wa kidini duniani, huwaleta mamilioni ya wapenzi na wafuasi wa Ahl-ul-Bayt (AS) kutoka mataifa mbalimbali katika mji mtukufu wa Karbala kila mwaka.
14:34 , 2026 Aug 03
Matembezi  ya Arbaeen yaendeshwa kwa usalama na utaratibu wa Juu

Matembezi ya Arbaeen yaendeshwa kwa usalama na utaratibu wa Juu

IQNA – Balozi wa Iran nchini Iraq amesema kuwa Mashaya au matembezi ya Arbaeen ya mwaka huu yanaendeshwa kwa utukufu mkubwa zaidi, kwa utaratibu mzuri na ikiwa na changamoto chache ikilinganishwa na miaka iliyopita.
16:21 , 2026 Aug 02
Mawkib ya kiutamaduni yavutia mazuwar wa Arbaeen

Mawkib ya kiutamaduni yavutia mazuwar wa Arbaeen

IQNA – Mawkib ya kiutamaduni, yaani kituo cha huduma, iliyoanzishwa na Astan, taasisi inayosimamia Haram tukufu ya Hadhrat Abbas (AS), kwenye njia ya kutoka Najaf hadi Karbala, imepokelewa kwa furaha na mazuwar wa Arbaeen.
16:16 , 2026 Aug 02
Programu za Qur’ani kwa wanawake zafanyika katika Haram tukufu ya Imam Ali (AS) wakati wa Arbaeen

Programu za Qur’ani kwa wanawake zafanyika katika Haram tukufu ya Imam Ali (AS) wakati wa Arbaeen

IQNA – Astan, yaani taasisi inayosimamia Haram tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, inaendesha programu za Qur’ani kwa ajili ya mazuwari wanawake katika msimu wa Arbaeen.
16:04 , 2026 Aug 02
Uzoefu na juhudi za kitaaluma ni msingi wa kushiriki Mashindano ya Kale Zaidi ya Kimataifa ya Qur’ani

Uzoefu na juhudi za kitaaluma ni msingi wa kushiriki Mashindano ya Kale Zaidi ya Kimataifa ya Qur’ani

IQNA – Qari au Msomaji wa Qur’ani kutoka Iran, ambaye atashiriki katika toleo la mwaka huu la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Malaysia, amesema anaendelea kufanya juhudi kubwa ili kujiandaa kikamilifu kwa ajili ya tukio hilo la Qur’ani.
15:40 , 2026 Aug 02
Mashindano ya Qur’ani ya Sultan Qaboos ya Oman: Hatua ya awali yaanza kwa kishindo

Mashindano ya Qur’ani ya Sultan Qaboos ya Oman: Hatua ya awali yaanza kwa kishindo

IQNA-Mashindano ya 34 ya Qur’ani Tukufu ya Sultan Qaboos nchini Oman yameanza rasmi huku yakishuhudia idadi ya washiriki 2,214 wakijitokeza katika hatua ya awali.
15:32 , 2026 Aug 02
Nafasi muhimu ya Mawakib za Qur’ani katika Safari ya Arbaeen

Nafasi muhimu ya Mawakib za Qur’ani katika Safari ya Arbaeen

IQNA – Afisa mmoja wa Iran amesisitiza umuhimu wa Mawakib za Qur’ani,vituo vya huduma vilivyojengwa kando ya njia ya Arbaeen, katika kukidhi mahitaji ya kiroho na kiutamaduni ya mazuwar
21:47 , 2026 Aug 01
Askofu Mkuu wa Urusi apongeza ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Askofu Mkuu wa Urusi apongeza ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

IQNA – Balozi wa Iran nchini Urusi (Russia), Kazem Jalali, alimkabidhi Askofu Mkuu wa Russia ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, wakati wa mkutano wao.
21:34 , 2026 Aug 01
12,000 wajisajili kushiriki Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Dubai

12,000 wajisajili kushiriki Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Dubai

IQNA – Toleo la 29 la Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai limepokea zaidi ya mawasilisho 12,000 kutoka kwa washiriki wa kiume na wa kike wanaowakilisha nchi 120 duniani, ndani ya wiki mbili za kwanza tangu usajili ulipofunguliwa. Idadi hiyo ni zaidi ya mara mbili ya waombaji 5,618 kutoka nchi 105 walioshiriki katika toleo lililotangulia.
21:22 , 2026 Aug 01
Msichana wa Gaza apata utulivu na faraja ya kiroho kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu

Msichana wa Gaza apata utulivu na faraja ya kiroho kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu

IQNA – Wanaharakati kwenye mitandao ya kijamii wamesambaza video yenye kugusa moyo ya msichana mwenye umri wa miaka 12 kutoka Gaza, ambaye kuhifadhi Qur’ani Tukufu kumekuwa kimbilio kwake.
21:15 , 2026 Aug 01
Ufyatuaji risasi waripotiwa nje ya Kituo cha Kiislamu cha York; mtu mmoja akamatwa, hakuna aliyejeruhiwa

Ufyatuaji risasi waripotiwa nje ya Kituo cha Kiislamu cha York; mtu mmoja akamatwa, hakuna aliyejeruhiwa

IQNA – Jeshi la Polisi katika eneo la North Yorkshire, Uingereza, limemkamata mwanamume mwenye umri wa miaka 44 kufuatia tukio la ufyatuaji risasi nje ya Msikiti na Kituo cha Kiislamu cha York.
21:03 , 2026 Aug 01
5 6 7 8