IQNA

Mshukiwa wa kitendo cha kuchoma Msikiti mjini Philadelphia afunguliwa mashtaka

Mshukiwa wa kitendo cha kuchoma Msikiti mjini Philadelphia afunguliwa mashtaka

IQNA – Moto ulikuwa haujazimika vyema katika Jumuiya ya Kiislamu ya Al-Aqsa, iliyoko kaskazini-mashariki mwa Philadelphia, Marekani mwezi uliopita, wakati wachunguzi wa shirikisho walipoungana kimyakimya na wazima moto wa eneo hilo katika eneo hilo la tukio lililoathiriwa na moto.
17:09 , 2026 Aug 08
Jordan yatoa onyo kali kuhusu hatua haramu za Israel dhidi ya Msikiti wa  Al-Aqsa

Jordan yatoa onyo kali kuhusu hatua haramu za Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Jordan imetoa onyo kali kwa washirika wake wa kimataifa kwamba utawala haramu wa Israel unaweza kuwa karibu kuchukua udhibiti kamili wa msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa AL Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
09:46 , 2026 Aug 07
Msichana wa Iraq aihifadhi Qur’ani Tukufu katika Siku 43 Pekee

Msichana wa Iraq aihifadhi Qur’ani Tukufu katika Siku 43 Pekee

IQNA – Msichana mmoja wa shule ya upili nchini Iraq amefikia hatua ya kipekee na ya kusifiwa kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu nzima katika kipindi cha siku 43 pekee. Zainab, mwanafunzi katika Shule ya Upili ya Wasichana ya Khadija nchini Iraq, alipewa heshima kubwa kwa mafanikio yake haya adhimu.
09:39 , 2026 Aug 07
Vyombo vya habari vya Israel vyatoa tahadhari kuhusu ugombea wa Abdul El-Sayed Seneti Marekani

Vyombo vya habari vya Israel vyatoa tahadhari kuhusu ugombea wa Abdul El-Sayed Seneti Marekani

IQNA – Vyombo vya habari vya Israel vimeonyesha wasiwasi kufuatia ushindi wa daktari Mmisri-Mmarekani, Abdul El-Sayed, katika kura za mchujo za Chama cha Democratic kwa kiti cha Seneti ya Marekani katika jimbo la Michigan, vikilitaja tukio hilo kuwa pigo muhimu kwa makundi yanayounga mkono Israel nchini Marekani.
09:31 , 2026 Aug 07
Hatimaye jimbo la Texas, Marekani laidhinisha ujenzi wa msikiti

Hatimaye jimbo la Texas, Marekani laidhinisha ujenzi wa msikiti

IQNA – Baraza la Jiji la McKinney, jimboni Texas nchini Marekani, limeidhinisha kwa kauli moja mpango wa kujengwa kwa msikiti mpya uliopendekezwa na Jumuiya ya Kiislamu ya McKinney, licha ya wasiwasi uliotolewa na baadhi ya wakazi kuhusu athari zinazoweza kujitokeza kwa jamii inayozunguka eneo hilo. Uamuzi huo wa kura 7-0 ulifuatia kikao kirefu na wakati mwingine chenye mvutano, ambapo takriban wakazi 150 walizungumza, baadhi wakiunga mkono na wengine wakipinga mradi huo.
08:16 , 2026 Aug 07
Mashauriano na Iraq kufanikisha  Arbaeen ya mwaka ujao yameanza

Mashauriano na Iraq kufanikisha Arbaeen ya mwaka ujao yameanza

IQNA – Iran na Iraq zimeanza mapema mashauriano na maandalizi ya ziara ya Arbaeen ya mwaka ujao, mara tu baada ya kumalizika kwa matembezi ya mwaka huu, amesema Mojtaba Shahti Karimi, Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kibalozi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran na Mkuu wa Kamati ya Kisiasa na Kibalozi ya Makao Makuu ya Arbaeen.
08:13 , 2026 Aug 07
Mazishi ya Kimbari: Mashahidi 112 wazikwa katika mkusanyiko mkubwa Gaza

Mazishi ya Kimbari: Mashahidi 112 wazikwa katika mkusanyiko mkubwa Gaza

IQNA – Katika tukio la kusikitisha na la kihistoria, miili ya mashahidi 112 imezikwa katika mazishi makubwa zaidi ya halaiki kuwahi kushuhudiwa katika Ukanda wa Gaza.
16:21 , 2026 Aug 05
Mbunge: Arbaeen ni kielelezo cha ujumbe wa kudumu wa Ashura

Mbunge: Arbaeen ni kielelezo cha ujumbe wa kudumu wa Ashura

IQNA – Mbunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesisitiza kuwa Arbaeen inawakilisha mwendelezo wa harakati ya Ashura na uhuishaji wa kiapo cha uaminifu kwa malengo matukufu ya Imam Hussein (AS).
16:13 , 2026 Aug 05
Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) katika Siku ya Arbaeen

Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) katika Siku ya Arbaeen

IQNA – Matembezi ya Arbaeen yalifanyika mjini Karbala, ikiwemo katika Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS), kwa mahudhurio yenye hamasa kubwa ya wapenzi na wafuasi wa Bwana wa Mashahidi, Imam Hussein (AS) siku ya Jumanne.
15:48 , 2026 Aug 05
Arbaeen: Tukio adhimu linalovuka mipaka ya ibada ya kawaida

Arbaeen: Tukio adhimu linalovuka mipaka ya ibada ya kawaida

IQNA – Matembezi ya Arbaeen si tukio la kitamaduni pekee wala ibada ya kawaida, bali ni dhihirisho la falsafa ya kina ya ustaarabu na utu inayoyaita nyoyo za watu huru duniani kuelekea kwenye ukweli, uadilifu, na uhuru.
18:09 , 2026 Aug 04
Wanafunzi wa Gaza Wahitimisha Kusoma Qur’ani Nzima Katika Kikao Kimoja

Wanafunzi wa Gaza Wahitimisha Kusoma Qur’ani Nzima Katika Kikao Kimoja

IQNA-Katika mwendelezo wa kuonyesha ustahimilivu na ari ya kiimani katikati ya mapambano, wanafunzi 110 wa kike wenye kuhifadhi Qur’ani huko Gaza wamefanikiwa kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima katika kikao kimoja cha Khatm al-Qur’an.
17:47 , 2026 Aug 04
Waziri wa Awqaf wa Misri atoa rambirambi kufuatia kufariki kwa Qari mkongwe wa Gharbia

Waziri wa Awqaf wa Misri atoa rambirambi kufuatia kufariki kwa Qari mkongwe wa Gharbia

IQNA – Waziri wa Awqaf wa Misri ametoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kifo cha Sheikh Saeed al-Najjar, msomaji mkongwe zaidi wa Qur’ani katika Mkoa wa Gharbia.
17:39 , 2026 Aug 04
Mashindano ya Usomaji wa Qur’ani nchini Qatar yanalenga kugundua vipaji vya kipekee

Mashindano ya Usomaji wa Qur’ani nchini Qatar yanalenga kugundua vipaji vya kipekee

IQNA – Taasisi ya Kijiji cha Utamaduni (Katara) nchini Qatar imefungua milango ya maombi kwa ajili ya Toleo la 10 la Tuzo ya Usomaji wa Qur’ani Tukufu. Mashindano hayo ya Qur’ani yanafanyika chini ya kauli mbiu: “Kuimarisha Sauti za Usomaji Mwema”.
17:19 , 2026 Aug 04
Mazuwar wa Arbaeen watoa wito wa kulipiza kisasi cha amu ya Kiongozi Shahidi

Mazuwar wa Arbaeen watoa wito wa kulipiza kisasi cha amu ya Kiongozi Shahidi

IQNA – Kongamano la Mazuwar wa Arbaeen likitoa wito wa kulipiza kisasi cha damu ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah SayyidAli Khamenei, limefanyika barabarani kati ya Najaf na Karbala, nchini Iraq. Tukio hili lameshuhudia mahudhurio makubwa ya jamii ya wapenzi wa Qur’ani kutoka Iran, Iraq, na kundi la Mazuwar kutoka mataifa mengine ya Kiislamu.
17:12 , 2026 Aug 04
Wito wa kuongezwa kwa programu za Qur'an katika matembezi ya Arbaeen

Wito wa kuongezwa kwa programu za Qur'an katika matembezi ya Arbaeen

IQNA – Akisisitiza mwitikio mzuri wa programu za Qur'ani Tukufu miongoni mwa mazuwaru wakati wa matembezi ya Arbaeen, msomaji mashuhuri wa Qur'ani kutoka Iran ametoa wito wa kuongezwa kwa idadi ya programu hizo.
16:04 , 2026 Aug 03
4 5 6 7