IQNA

Mawaidha

Kuanza Uimamu wa Imam Mahdi (AF)

TEHRAN (IQNA)- Tarehe 9 Mfunguo Sita Rabiul Awwal miaka 1185 iliyopita kulingana na kalenda ya Hijria Qamaria, baada ya kuuawa shahidi Imam Hassan Askari...
Mawaidha

Mjue Imam Hassan Askari (AS)

TEHRAN (IQNA)-Imam Hassan Askari (AS), Imam wa 11 wa Waislamu wa madhehebu ya Shia aliuawa shahidi mwaka 260 Hijiria sawa na mwaka 873 Miladia kutokana...
Kadhia ya Palestina

Hamas yalaani hatua ya DRC kuamua kuhamishia ubalozi wake Al Quds

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani uamuzi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kuhamisha ubalozi wake...
Harakati za Qur'ani Tukufu

Jukwaa la Kimataifa la Qur'ani lahitimishwa Sharjah, UAE

SHARJAH (IQNA) – Duru ya pili ya Kongamano la Kimataifa la Qur’ani lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Al Qasimia lilimalizika mjini Sharjah, Umoja wa Falme...
Habari Maalumu
Aliyekuwa Waziri Kiongozi India abainisha wasiwasi kuhusu kushadidi chuki dhidi ya Uislamu
Waislamu India

Aliyekuwa Waziri Kiongozi India abainisha wasiwasi kuhusu kushadidi chuki dhidi ya Uislamu

NEW DELHI (IQNA) - Chuki dhidi ya Uislamu nchini India imeenea zaidi kuliko hapo awali, alisema waziri mkuu wa zamani na makamu wa rais wa Mkutano wa Kitaifa,...
24 Sep 2023, 12:58
Chuki dhidi ya Uislamu imeenea katika taasisi zote za serikali nchini Uholanzi
Chuki dhidi ya Uislamu

Chuki dhidi ya Uislamu imeenea katika taasisi zote za serikali nchini Uholanzi

AMSTERDAM (IQNA) –Rais wa taasisi kuu ya Kiislamu Uholanzi anasema chuki dhidi ya Uislamu inaweza kuonekana katika taasisi zote za serikali nchini humo.
23 Sep 2023, 20:36
Wanachuo wa Mauritania wapinga uhusiano na utawala haramu wa Israel
Watetezi wa Quds Tukufu

Wanachuo wa Mauritania wapinga uhusiano na utawala haramu wa Israel

TEHRAN (IQNA)- Wanafunzi wa vyuo vikuu vya Mauritania wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Nouakchott, wakilaani kuanzishwa uhusiano wa kidiplomasia...
23 Sep 2023, 20:53
Msichana Mwislamu aishtaki Ufaransa UN kutokana na marufuku ya Hijabu
Waislamu Ufaransa

Msichana Mwislamu aishtaki Ufaransa UN kutokana na marufuku ya Hijabu

PARIS (IQNA) - Mwanafunzi wa Kiislamu wa Ufaransa, aliyekataliwa hivi majuzi kuingia shuleni kwake huko Lyon kwa kuvaa vazi la Kijapani la Kimono, amepeleka...
23 Sep 2023, 13:49
Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya  Qur'ani ya Dubai kwa wanawake wapewa zawadi
Mashindano ya Qur'ani

Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Dubai kwa wanawake wapewa zawadi

DUBAI (IQNA) - Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Dubai ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake yalifungwa katika sherehe huko Dubai, UAE.
23 Sep 2023, 13:13
Nakala ya Qur’ani  iliyovunjiwa heshima Uholanzi imekarabatiwa, yakabidhiwa Balozi wa Uturuki
Watetezi wa Qur'ani Tukufu

Nakala ya Qur’ani iliyovunjiwa heshima Uholanzi imekarabatiwa, yakabidhiwa Balozi wa Uturuki

AMSTERDAM (IQNA) – Nakala ya Qur’ani Tukufu iliyovunjwa heshima na kuchanwa nchini Uholanzi mwezi uliopita imekarabatiwa.
23 Sep 2023, 13:35
Dubai yatangaza Msikiti wa kwanza wa chini ya maji duniani
Utalii wa Kiislamu

Dubai yatangaza Msikiti wa kwanza wa chini ya maji duniani

DUBAI (IQNA) - Dubai inatazamiwa kuzindia msikiti wa kwanza duniani unaoelea kwa gharama inayokadiriwa ya takriban Dh55 milioni.
22 Sep 2023, 22:03
Kiongozi wa Kashmir arejea msikiti wa kihistoria, aongoza Sala ya Ijumaa baada ya kuzuiliwa kwa miaka 4
Waislamu India

Kiongozi wa Kashmir arejea msikiti wa kihistoria, aongoza Sala ya Ijumaa baada ya kuzuiliwa kwa miaka 4

SRINAGAR (IQNA) - Baada ya miaka minne ya kifungo cha nyumbani, kiongozi wa Kiislamu wa Kashmir anayeunga mkono uhuru wa uneoe hilo, Mirwaiz Umar Farooq,...
22 Sep 2023, 22:30
Kuvunjia heshima Qur’ani ni kitendo cha chuki dhidi ya Uislamu kwa lengo la kuchochea uhasama
Watetezi wa Qur'ani Tukufu

Kuvunjia heshima Qur’ani ni kitendo cha chuki dhidi ya Uislamu kwa lengo la kuchochea uhasama

NEW YORK (IQNA) – Waziri Mkuu wa Malaysia Datuk Seri Anwar Ibrahim alishutumu vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani kuwa ni vitendo vya "chuki dhidi ya...
22 Sep 2023, 21:50
Washindi wa Shindano la Qur'ani la Sydney 
Waislamu Australia

Washindi wa Shindano la Qur'ani la Sydney 

CANBERRA (IQNA) - Mashindano ya Qur'ani yaliyoandaliwa mjini Sydney, Australia, yalihitimishwa katika sherehe ambapo washindi wa kwanza walitunukiwa.
22 Sep 2023, 22:43
EU yasema vitendo kama kuvunjia heshima Qur’ani ni kwa maslahi ya magaidi
Diplomasia

EU yasema vitendo kama kuvunjia heshima Qur’ani ni kwa maslahi ya magaidi

NEW YORK (IQNA) - Vitendo kama vile kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu vinatumiwa na magaidi kwa maslahi yao, mkuu wa sera za kigeni wa EU alisema.
22 Sep 2023, 22:15
Jihad Islami  yaunda brigedi mpya kukabiliana na askari Israel katika Ukingo wa Magharibi
Mapambano ya Wapalestina

Jihad Islami yaunda brigedi mpya kukabiliana na askari Israel katika Ukingo wa Magharibi

TEHRAN (IQNA)- Brigedi Mpya imeundwa na harakati ya kupigania ukombozi wa Palestina ya Jihad Islami kukabiliana na Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel...
21 Sep 2023, 15:45
Viongozi wa Uturuki, Malaysia: Kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu   ni tishio kwa amani
Watetezi wa Qur'ani Tukufu

Viongozi wa Uturuki, Malaysia: Kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu ni tishio kwa amani

NEW YORK (IQNA) - Viongozi wa Uturuki na Malaysia wamelaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu hivi karibuni katika nchi za Magharibi na kusema vitendo hivyo...
21 Sep 2023, 17:55
Jeshi la Israel lawaua shahidi Wapalestina 4 Gaza, Ukingo wa Magharibi
Jinai za Israel

Jeshi la Israel lawaua shahidi Wapalestina 4 Gaza, Ukingo wa Magharibi

TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi vamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina wanne katika mashambulizi mawili tofauti katika eneo la Ukingo...
21 Sep 2023, 18:01
Rais wa Iran katika UN: Maadui hawatafanikiwa kamwe kupotosha ukweli wa Qur'ani Tukufu
Watetezi wa Qur'ani Tukufu

Rais wa Iran katika UN: Maadui hawatafanikiwa kamwe kupotosha ukweli wa Qur'ani Tukufu

TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa Iran amelihutubia Kikao cha 78 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kueleza kwamba,...
20 Sep 2023, 20:30
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa: Viongozi wa Kiislamu walaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu
Watetezi wa Qur'ani Tukufu

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa: Viongozi wa Kiislamu walaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu

NEW YORK (IQNA) - Viongozi kadhaa wa nchi Kiislamu duniani wamehutubu kwenye Kikao cha 78 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo wamelaani vikali kitendo...
20 Sep 2023, 22:30
Picha‎ - Filamu‎