IQNA

Msikiti wa Basildon Uingereza waharibiwa katika tukio la Chuki Dhidi ya Waislamu

IQNA – Uharibifu wa msikiti mmoja huko Basildon wiki iliyopita umekemewa vikali na umeibua wasiwasi mpya kuhusu kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)...

Msikiti Maarufu wa al-Nouri Wafunguliwa Rasmi Nchini Iraq, Mosul

IQNA – Msikiti wa kihistoria wa al-Nouri, ulioko katika jiji la Mosul kaskazini mwa Iraq, umefunguliwa rasmi baada ya kukamilika kwa operesheni ya ukarabati.

Shirikisho la wasomi wa Qur’ani la Misri, lenye lengo la kugundua vipaji vipya kupitia mashindano ya kitaifa

IQNA – Rais wa Shirikisho la Wasomi wa Qur’ani la Misri amesema kuwa mashindano ya kitaifa yanafungua milango ya kugundua vipaji vipya miongoni mwa vijana...

Mashindano ya Qur’ani ya Kitaifa Nchini Tunisia yaanza sambamba na Miald-un-Nabi

IQNA – Mashindano ya kitaifa ya usomaji wa Qur’ani na uhifadhi wa Hadithi za Mtume Muhamad (SAW) yalifanyika katika jiji la Kairouan, Tunisia.
Habari Maalumu
Mwanazuoni wa Qur’ani wa Misri atangaza kumaliza ‘Mushaf Al-Ummah’

Mwanazuoni wa Qur’ani wa Misri atangaza kumaliza ‘Mushaf Al-Ummah’

IQNA – Sheikh Ahmed Al-Maasrawi, ambaye ameishi Malaysia kwa miaka kadhaa, ametangaza kukamilisha mradi wake wa pamoja na Taasisi ya Uchapishaji wa Qur’ani...
02 Sep 2025, 16:29
Huruma na Hekima ya Mtume Muammad (SAW) Zilibadilisha Makabila na Kuunda Jamii Moja

Huruma na Hekima ya Mtume Muammad (SAW) Zilibadilisha Makabila na Kuunda Jamii Moja

IQNA – Mtume Muhammad (SAW) alifanikiwa kuunda jamii moja kutoka kwa makabila yaliyoachana kwa kutumia huruma na rehema zake, amesema msomi mmoja nchini...
01 Sep 2025, 20:58
Kiongozi wa Hizbullah atuma rambirambi baada ya Israel kuwaua kigaidi viongozi wa Yemen

Kiongozi wa Hizbullah atuma rambirambi baada ya Israel kuwaua kigaidi viongozi wa Yemen

IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, ametuma salamu za rambirambi kwa taifa la Yemen kufuatia kuuawa shahidi kwa Waziri Mkuu wa...
01 Sep 2025, 17:31
Israel Yaharibu Turathi za Kiislamu chini ya Msikiti wa Al-Aqsa

Israel Yaharibu Turathi za Kiislamu chini ya Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Uongozi wa Palestina wa Jimbo la al-Quds umetangaza kuwa Israel inafanya uchimbaji haramu chini ya Msikiti wa Al-Aqsa ulioko Mashariki mwa al-Quds...
01 Sep 2025, 12:59
Washindi wa Mashindano ya Qur'ani ya Wanafunzi waenziwa nchini Iraq

Washindi wa Mashindano ya Qur'ani ya Wanafunzi waenziwa nchini Iraq

IQNA – Mashindano ya Qur’ani yalifanyika kwa ajili ya wanafunzi mahiri waliokuwa wakihudhuria kozi za Qur’ani za majira ya kiangazi zilizoandaliwa na Jumuiya...
01 Sep 2025, 12:34
Sheikh Qais Al-KhazaliK: Kuhifadhi Hashd al-Sha’abi ni takwa la taifa la Iraq 

Sheikh Qais Al-KhazaliK: Kuhifadhi Hashd al-Sha’abi ni takwa la taifa la Iraq 

IQNA – Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiiraqi ya Asaib Ahl Al-Haq, Sheikh Qais Al-Khazali, amesisitiza kuwa kulinda na kuendeleza Hashd al-Sha’abi (Vikosi...
01 Sep 2025, 12:45
Iran yalaani vikali hujuma ya kigaidi ya Israel dhidi ya Yemen

Iran yalaani vikali hujuma ya kigaidi ya Israel dhidi ya Yemen

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na Spika wa Bunge, Mohammad Baqer Qalibaf, wamelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya...
31 Aug 2025, 12:39
Nakala za kale za Qur'ani zilizoko Vatican

Nakala za kale za Qur'ani zilizoko Vatican

IQNA – Ingawa Maktaba ya Vatican ni maktaba ya Kikristo, urithi wa Kiislamu unachukua nafasi maalum ndani yake na Misahafu (nakala za Qur'ani) inahifadhiwa...
31 Aug 2025, 17:37
Msomi abainisha mchakato wa kuunda Bunge la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu

Msomi abainisha mchakato wa kuunda Bunge la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu

IQNA – Juhudi za kuunda Bunge la Qur'ani la ulimwengu wa Kiislamu zinalenga kuunda jukwaa la kutatua matatizo ya Waislamu kwa kutumia misingi ya Qur'ani,...
31 Aug 2025, 11:39
Waumini milioni 52 watembelea Misikiti Mitakatifu ya Makkah na Madina mwezi uliopita

Waumini milioni 52 watembelea Misikiti Mitakatifu ya Makkah na Madina mwezi uliopita

IQNA – Karibu wamilioni 53 za ziara zilirekodiwa katika Msikiti Mkuu wa Makkah na Msikiti wa Mtume huko Madina katika mwezi mmoja uliopita wa Hijria Qamaria.
31 Aug 2025, 11:51
Mufti wa New Zealand apongeza hafla ya Saa ya Qur’ans nchini Malaysia

Mufti wa New Zealand apongeza hafla ya Saa ya Qur’ans nchini Malaysia

IQNA – Mufti wa New Zealand ameipongeza hafla ya Malaysia 'Quran Hour' yaani Saa ya Qur'ani kwa kuhamasisha Waislamu kuhusu Kitabu Kitukufu cha Mwenyezi...
31 Aug 2025, 17:44
Wayemen waandamana kulaani uchomaji wa nakala ya Qur’ani Marekani na ukatili wa Israeli Gaza

Wayemen waandamana kulaani uchomaji wa nakala ya Qur’ani Marekani na ukatili wa Israeli Gaza

IQNA – Watu kutoka maeneo mbalimbali ya Yemen walifanya maandamano makubwa siku ya Ijumaa kulaani uhalifu wa Israeli dhidi ya Wapalestina na kitendo cha...
30 Aug 2025, 17:25
Ujumbe wa Iran watembelea Malaysia kuimarisha uhusiano wa kidini, kielimu na kitamaduni

Ujumbe wa Iran watembelea Malaysia kuimarisha uhusiano wa kidini, kielimu na kitamaduni

IQNA-Ujumbe wa viongozi wa kidini kutoka Iran, wakiongozwa na Ayatullah Alireza Arafi na Ayatullah Ahmad Mobaleghi, umefanya ziara ya siku tatu nchini...
30 Aug 2025, 17:11
Misikiti 1,600 ya Tatarstan yaandaa sherehe za Maulid ya Mtume Muhammad (SAW)

Misikiti 1,600 ya Tatarstan yaandaa sherehe za Maulid ya Mtume Muhammad (SAW)

IQNA – Idara ya Masuala ya Kidini ya Waislamu katika Jamhuri ya Tatarstan katika Shirikisho la Urusi (Russia) imetangaza kuandaliwa kwa mfululizo wa sherehe...
30 Aug 2025, 17:06
Polisi  huko Mississauga, Kanada wachunguza kitendo cha hujuma dhidi ya Msikiti

Polisi huko Mississauga, Kanada wachunguza kitendo cha hujuma dhidi ya Msikiti

IQNA – Uchunguzi unaendelea mjini Mississauga, Kanada baada ya mtu mmoja kuharibu msikiti mapema mwezi huu, huku polisi wakisema ni mapema mno kusema iwapo...
30 Aug 2025, 17:00
Wairani milioni tano wanasubiri zamu kwa ajili ya safari ya Umrah

Wairani milioni tano wanasubiri zamu kwa ajili ya safari ya Umrah

IQNA – Zaidi ya Wairani milioni tano wanasubiri kwa hamu nafasi yao ya kwenda kufanya ibada ya Umrah, afisa mmoja amesema.
30 Aug 2025, 16:48
Picha‎ - Filamu‎