Habari Maalumu
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Mojtaba Khamenei, ameeleza shukrani zake za dhati kwa mahudhurio “ya kustaajabisha, yenye kuvunja...
11 Jul 2026, 16:40
IQNA – Msafara mkubwa wa kinembo wa maombolezo wenye anwani ya “Kumuaga Imam Khamenei” umefanyika huko Kargil, India, siku ya Alhamisi.
11 Jul 2026, 16:27
IQNA – Kamati za Muqawama wa Palestina (Palestinian Resistance Committees) zimesisitiza kuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah...
11 Jul 2026, 16:22
IQNA – Familia za Algeria zimeanza kuajiri walimu wa Qur’ani (wanaume na wanawake) ili kuwafundisha watoto wao nyumbani.
11 Jul 2026, 16:34
IQNA – Baada ya siku kadhaa za misafara ya mazishi na hafla za kuaga nchini Iran na Iraq, Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali...
10 Jul 2026, 16:33
IQNA – Msomi mwandamizi wa Bahrain amesema kuwa umoja katika mtazamo wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, si nembo...
10 Jul 2026, 17:02
IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa shukrani za dhati kwa wananchi na viongozi wa Iraq kwa ukarimu wao katika kuandaa msafara wa mazishi ya Kiongozi...
10 Jul 2026, 16:48
IQNA – Mazishi makubwa na yenye adhama ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, yaliyovuta mamilioni ya waombolezaji, hayakuwa tu hafla ya kitaifa,...
10 Jul 2026, 17:10
IQNA-Katika ujumbe uliotolewa mapema leo Alkhamisi, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Brigedia Jenerali Esmail...
09 Jul 2026, 13:48
IQNA – Swala za Maiti kwa ajili ya miili ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, pamoja na wanafamilia yake imeswaliwa...
08 Jul 2026, 09:44
IQNA – Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Kiislamu ametaja “kuishi na Qur’ani Tukufu” kama takwa kuu la Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah...
08 Jul 2026, 20:44
IQNA – Katibu mkuu wa Harakati ya Asaib Ahl al-Haq nchini Iraq, Sheikh Qais Al-Khazali, amesema kuwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah...
08 Jul 2026, 20:50
IQNA-Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza rasmi kuwa, katika hatua ya kwanza ya kujibu uchokozi wa Marekani wa usiku wa...
08 Jul 2026, 10:03
IQNA-mamilioni ya waombolezaji leo wameikusanyika katika mji mtakatifu wa Qom nchini Iran tangu asubuhi kushiriki katika mazishi ya Kiongozi Shahidi.
07 Jul 2026, 16:05
IQNA – Mwili mtakatifu wa Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayed Ali Khamenei, utapelekwa katika maeneo matakatifu nchini Iraq kwa ajili ya...
07 Jul 2026, 16:47
IQNA – Kuadhibiwa kwa wauaji wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ni wajibu wa kimsingi wa mamlaka ya Jamhuri ya...
07 Jul 2026, 16:55