IQNA

Mashindano ya 13 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Libya yamalizika

Mashindano ya 13 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Libya yamalizika

IQNA – Libya imetangaza washindi wa Tuzo ya 13 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu, iliyofikia tamati mjini Benghazi kwa ushiriki wa zaidi ya mataifa 70.
12:42 , 2025 Sep 29
Qom kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Qur’ani ya Kitaifa ya Iran ya ‘Zayin al-Aswat’

Qom kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Qur’ani ya Kitaifa ya Iran ya ‘Zayin al-Aswat’

IQNA – Toleo la kwanza la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani ya Iran ya “Zayin al-Aswat” (mapambo ya sauti) linatarajiwa kufanyika katika mji mtakatifu wa Qom, likijumuisha makundi matatu kuu, waandaaji walitangaza.
15:45 , 2025 Sep 28
‘Baba wa Maqari’: Al-Azhar Yamuenzi Sheikh Mohammed al-Sayfi

‘Baba wa Maqari’: Al-Azhar Yamuenzi Sheikh Mohammed al-Sayfi

IQNA – Katika kumbukumbu ya kifo chake, Kituo cha Fatwa cha Kimataifa cha Al-Azhar kimemuenzi Sheikh Mohammed al-Sayfi, akimtaja mtaalamu na msomi wa Misri aliyeaga dunia kama "Baba wa qaris" na ishara endelevu ya usomaji wa Qur’ani wa asili.
15:30 , 2025 Sep 28
‘Quds; Mji Mkuu wa Palestina’ Kauli Mbiu ya Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Amman

‘Quds; Mji Mkuu wa Palestina’ Kauli Mbiu ya Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Amman

IQNA – Maonyesho ya 24 ya Kimataifa ya Vitabu ya Amman 2025 yalifunguliwa Alhamisi, Septemba 25, katika Kituo cha Maonyesho cha Kimataifa cha Jordan, kwa kauli mbiu ya ‘Quds; Mji Mkuu wa Palestina’.
13:44 , 2025 Sep 28
Kiongozi wa Ansarullah: : Njia  ya Sayyid Hassan Nasrallah inaendelea

Kiongozi wa Ansarullah: : Njia ya Sayyid Hassan Nasrallah inaendelea

IQNA-Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, katika hotuba aliyotoa kwa ajili ya kumbukumbu ya mwaka mmoja ya kuuawa shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa zamani wa Hizbullah ya Lebanon, alisisitiza kuwa njia na mtindo wa shahidi huyu bado unaendelea.
13:32 , 2025 Sep 28
Kiongozi wa Hizbullah asema:

Kiongozi wa Hizbullah asema: "Ewe Nasrallah, kama ulivyotufunza, hatutaziacha katu silaha za Muqawama"

IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, amehutubia mjini Beirut maadhimisho ya mwaka wa kwanza wa kuuawa shahidi Sayyid Hassan Nasrallah na Sayyid Hashem Safiyyuddin na kumhutubu Shahidi Nasrullah kwa kusema: "Ewe Nasrullah, kama ulivyotufunza, hatutaziacha katu silaha za Muqawama."
13:23 , 2025 Sep 28
Mwanaume akamatwa Singapore kwa kutuma kifurushi chenye nyama ya nguruwe kwenye Msikiti

Mwanaume akamatwa Singapore kwa kutuma kifurushi chenye nyama ya nguruwe kwenye Msikiti

IQNA - Polisi wa Singapore wamemkamata mwanaume mwenye umri wa miaka 61 kwa tuhuma za kutuma kifurushi chenye nyama ya nguruwe kwa makusudi ya kuwadhalilisha Waislamu. Taarifa ya tukio hilo ilitolewa Septemba 24 baada ya kifurushi hicho kutumwa katika Msikiti wa Al-Istiqamah ulioko Serangoon North Avenue 2 saa 11:20 jioni.
17:55 , 2025 Sep 27
Zaidi ya Tafsiri 40 za Qur’ani zimekaguliwa ndani ya miezi sita nchini Iran

Zaidi ya Tafsiri 40 za Qur’ani zimekaguliwa ndani ya miezi sita nchini Iran

IQNA-Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Tafsiri ya Qur’ani na Maandishi ya Kidini nchini Iran, Karim Dolati, ametangaza kuwa taasisi hiyo imekagua kati ya tafsiri 40 hadi 50 za Qur’ani Tukufu na kazi zinazohusiana katika kipindi cha miezi sita iliyopita.
17:51 , 2025 Sep 27
Watu Zaidi ya Milioni 53 Watembelea Misikiti Miwili Mitakatifu Mwezi Mmoja

Watu Zaidi ya Milioni 53 Watembelea Misikiti Miwili Mitakatifu Mwezi Mmoja

IQNA-Katika mwezi wa Rabi al-Awwal 1447 Hijria, Misikiti Miwili Mitakatifu—Msikiti Mkuu wa Makka na Msikiti wa Mtume (SAW) huko Madina, imepokea jumla ya waumini 53,572,983, wakiwemo waumini na mahujaji, kwa mujibu wa taarifa ya Mamlaka ya Huduma za Misikiti Miwili Mitakatifu.
16:58 , 2025 Sep 27
Hatua ya mwisho ya Mashindano ya Qur’ani ya Morocco yaingia fainali

Hatua ya mwisho ya Mashindano ya Qur’ani ya Morocco yaingia fainali

IQNA-Mashindano ya sita ya kuhifadhi, kusoma, na Tajwidi ya Qur’ani Tukufu nchini Morocco yameingia katika hatua ya mwisho, yakifanyika kuanzia Ijumaa katika mji wa Fez.
16:48 , 2025 Sep 27
Kutoka Gizani Hadi Nuru: Kisha Mtaalamu wa Kijerumani aliyegundua Ukweli wa Qur’ani Tukufu

Kutoka Gizani Hadi Nuru: Kisha Mtaalamu wa Kijerumani aliyegundua Ukweli wa Qur’ani Tukufu

IQNA- Kisa cha kweli cha  Alfred Huber ni simulizi ya mtu aliyesafiri kimwili na kiroho, akivuka dini, tamaduni na lugha, hadi alipogundua mwangaza wa Qur’ani Tukufu.
16:42 , 2025 Sep 27
Yemen yaendeleza oparesheni za kijeshi dhidi ya utawala katili wa Israel

Yemen yaendeleza oparesheni za kijeshi dhidi ya utawala katili wa Israel

IQNA-Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limesema ndege isiyo na rubani iliyorushwa kutoka Yemen imeshambulia mji wa kusini wa Eilat na kujeruhi watu 22 wakiwemo wawili ambao hali zao ni mahututi. Hayo yanajiri wakati jeshi la kizayuni likiwa lingali linaendeleza vita vyake vya kinyama na mauaji ya kimbari ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
15:22 , 2025 Sep 26
Iran yaongeza maradufu idadi ya safari za ndege za Umrah

Iran yaongeza maradufu idadi ya safari za ndege za Umrah

IQNA – Idadi ya safari za ndege zinazowasafirisha waumini wa ibada ya Umrah kutoka Iran kwenda Saudi Arabia imeongezeka tangu mwanzo wa wiki hii.
15:14 , 2025 Sep 26
Meya wa London Sadiq Khan amjibu Trump, amtaja kuwa mbaguzi mwenye chuki dhidi ya Uislamu’

Meya wa London Sadiq Khan amjibu Trump, amtaja kuwa mbaguzi mwenye chuki dhidi ya Uislamu’

IQNA- Meya wa jiji la London, Sadiq Khan, amemjibu kwa ukali Rais wa Marekani Donald Trump, akimtuhumu kuwa “mbaguzi wa rangi, jinsia, wanawake na mwenye chuki dhidi Uislamu” baada ya Trump kutumia hotuba yake katika Umoja wa Mataifa kumuita Khan “meya mbaya” na kudai kuwa jiji la London linaelekezwa kwenye “sheria ya Kiislamu (sharia)”.
15:07 , 2025 Sep 26
Maldivi Kuweka Matawi ya Kituo cha Qur'ani kwenye kila kisiwa nchini humo

Maldivi Kuweka Matawi ya Kituo cha Qur'ani kwenye kila kisiwa nchini humo

IQNA – Serikali ya Maldivi (Maldives) inakusudia kuanzisha matawi ya Kituo cha Qurani katika visiwa vyote vya nchi hiyo.
14:30 , 2025 Sep 26
4