iqna

IQNA

televisheni
Ramadhani
IQNA - Qari wa Iran Ustadh Hamed Shakernejad na Qari wa Kuwait Sheikh Abdullah Abul Hassan wamesoma Qur'ani kwa mtindo wa Munafisah katika kipindi maarufu cha televisheni cha Qur'ani nchini Iran kinachojulikana kama Mahfel.
Habari ID: 3478651    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/08

Harakati ya Qur'ani
IQNA - Katika kusherehekea kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam Hassan Mujtaba (AS), mkusanyiko mkubwa zaidi wa wanaharakati Qur'ani Tukufu nchini Iran umefanyika katika Uwanja wa Azadi mjini Tehran wenye uwezo wa kubeba watu laki moja.
Habari ID: 3478589    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/27

Utamaduni wa Qur'ani
IQNA – Kipindi maalum cha televisheni cha Mwezi wa Ramadhani  cha ‘Mahfel’ ni kazi ya Qur’ani na ndiyo maana kimebarikiwa na Mwenyezi Mungu, mmoja wa wataalamu wa kipindi hicho alisema.
Habari ID: 3478537    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/18

TEHRAN (IQNA)- Kampuni kubwa ya mitandao ya kijamii ya Marekani ya Facebook imefuta "daima" ukurasa wa mtandao wa habari wa televisheni ya Iran wa al-Alam TV kwenye jukwaa lake bila kutoa notisi yoyote mapema.
Habari ID: 3475020    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/07

TEHRAN (IQNA) – Kanali ya kwanza ya televisheni ya satalaiti ambayo ni maalumu kwa ajili ya Qur'ani Tukufu imezinduliwa nchini Misri.
Habari ID: 3472481    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/17

TEHRAN (IQNA)- Duru ya 12 ya mashindano ya kimataifa ya kusoma Qur'ani (qiraa) ambayo hufanyika mubashara au moja kwa moja kupitia Televisheni ya Al Kauthar ya Iran yanatazamiwa kuwa na washiriki 250 mwaka huu.
Habari ID: 3471935    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/30

TEHRAN (IQNA)-Televisheni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imerusha hewani mashindano makubwa zaidi duniani ya Qur'ani ya moja kwa moja (live).
Habari ID: 3471035    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/25

IQNA-Serikali ya Uturuki imelaaniwa vikali kwa kuamuru kufungwa televisheni mbili za Waislamu wa madhehebu ya Shia ambazo zilidaiwa kueneza "propaganda dhidi ya serikali".
Habari ID: 3470811    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/25

Kituo cha Utamduni cha Iran nchini Nigeria kinashirikiana na al-Afrikiy Islamic TV kuandaa mashindano ya Qur’ani katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
Habari ID: 3470540    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/29

Shirika la Kutoa Huduma za Satalaiti kwa Televisheni limelaaniwa kwa kuzima televisheni ya Al-Manar iliyokuwa ikirusha matangazo yako kupitia mitambo ya shirika hilo.
Habari ID: 3460128    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/06

Waislamu nchini Uganda wamezindua televisheni ya kwanza kabisa ya Kiislamu nchini humo na hivyo kuhuisha matumaini ya mwamko mpya baada ya sauti ya Waislamu kukandamizwa kwa muda mrefu na vyombo vya habari nchini humo.
Habari ID: 3351062    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/24

Kikao cha Nane cha Muungano wa Redio na Televisheni za Kiislamu kimeanza leo hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3344930    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/16

Baraza Kuu la Vyombo vya Habari Tunisia limefunga televisheni na radio kadhaa za Kiislamu nchini humo kwa tuhuma kuwa hazina vibali.
Habari ID: 3331856    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/21

Katika jitihada za kueneza mafundisho halisi ya Kiislamu, jumuiya moja ya Kiislamu nchini Nigeria imeanzisha stesheni mpya za televisheni na radio katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
Habari ID: 3313357    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/12

Kituo cha Utamaduni cha Iran mjini Kampala, Uganda kinashirikiana na Televisheni ya kitaifa ya nchi hiyo UBC TV katika kutayarisha pamoja vipindi vya Qur'ani na vya maudhui za kidini.
Habari ID: 3312613    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/09