iqna

IQNA

subira
Shakhsia katika Qur'ani /21
TEHRAN (IQNA) - Watu wengi hawana subira mbele ya matatizo lakini wanapaswa kujua kwamba Mwenyezi Mungu anaweka magumu kwenye njia ya watu ili kuwajaribu. Nabii Ayub-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake (AS)-ambaye alikuwa ni mwenye kumshukuru Mwenyezi Mungu hata katika hali ngumu sana, anaweza kuwa mfano wa kuigwa katika suala hili.
Habari ID: 3476274    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/19

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Wakati wa uhai wake na katika safari yake hapa duniani, mwanadamu hukabiliana na matatizo na dhiki mbalimbali.
Habari ID: 3475861    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/30

Qur'ani Tukufu Inasemaje/25
TEHRAN (IQNA) - Hasira ni miongoni mwa hisia zinazosababisha uadui na kupelekea kuibuka matokeo mabaya ya kijamii. Uadui au uhasama unaweza kupunguzwa kwa njia fulani, lakini kuugeuzaa kuwa urafiki wa kindani ni jambo ambalo linaonekana kuwa lisilowezekana.
Habari ID: 3475670    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/23

Sura za Qur'ani Tukufu /12
TEHRAN (IQNA) – Kisa cha Nabii Yusuf (AS) katika Qur’ani Tukufu kimejaa mengi kuhusu magumu ambayo aliyapitia kwa subira na imani na kufanikiwa kupata hadhi ya juu.
Habari ID: 3475421    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/24

Qur'ani inasema nini / 3
TEHRAN (IQNA)- Kuna misukosuko na masaibu yanayomzunguka mtu kutokana na hali mbaya na matukio mbalimbali. Lakini ni vipi tunaweza kukabiliana na masaibu hayo na kurekebisha mitazamo yetu kuhusu nafsi zetu na ulimwengu?
Habari ID: 3475304    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27