IQNA

Hija ya 1446: Kundi la kwanza la wanaotekeleza ibada ya Hija lafika Madina

Hija ya 1446: Kundi la kwanza la wanaotekeleza ibada ya Hija lafika Madina

IQNA – Uwanja wa ndege wa kimataifa katika mji mtakatifu wa Madina ulipokea kundi la kwanza la waumini wanaotekeleza ibada ya Hija ya  mwaka huu wa 1446 (2025) siku ya Jumanne. 
21:19 , 2025 Apr 30
'Dakika ya Ukimya'  Bungeni Ufaransa kwa Mhanga wa Shambulio ndani ya Msikiti

'Dakika ya Ukimya' Bungeni Ufaransa kwa Mhanga wa Shambulio ndani ya Msikiti

IQNA – Wabunge wa Ufaransa siku ya Jumanne walikusanyika kwa heshima kuu kumkumbuka Muislamu aliyepoteza maisha katika shambulio la kusikitisha ndani ya msikiti uliopo kusini mwa nchi hiyo. 
21:11 , 2025 Apr 30
Msahafu wa Karne ya 15 Kuuzwa katika Mnada wa Sotheby's

Msahafu wa Karne ya 15 Kuuzwa katika Mnada wa Sotheby's

IQNA – Nakala ya Qur’ani (Msahafu) kutoka enzi za Mamluk mwishoni mwa miaka ya 1470 Miladia ni miongoni mwa vitu vya sanaa vitakavyouzwa katika mnada wa Sotheby's jijini London leo. 
20:51 , 2025 Apr 30
Semina ya kumkumbuka msomi mashuhuri wa Qur'ani wa Iran

Semina ya kumkumbuka msomi mashuhuri wa Qur'ani wa Iran

IQNA – Semina ya mtandaoni imepangwa kufanyika usiku wa leo kumkumbuka marehemu Abdolrasoul Abaei, msomi mashuhuri wa Qur'ani kutoka Iran.  
20:39 , 2025 Apr 30
Wahifadhi na Wasomaji Qur'ani kutoka Nchi 50 wajisajili  Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Karbala 

Wahifadhi na Wasomaji Qur'ani kutoka Nchi 50 wajisajili  Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Karbala 

IQNA – Wanaharakati  wa Qur'ani kutoka nchi 50 hadi sasa wamejisajili kushiriki katika toleo la nne la shindano la kimataifa la Qur'ani huko Karbala, Iraq. 
20:28 , 2025 Apr 30
Klipu | Karibu kuliko mshipa wa shingoni

Klipu | Karibu kuliko mshipa wa shingoni

IQNA- Katika dunia ya leo yenye pilika pilika nyingi na mwendo wa haraka, wakati mwingine tunahitaji kusimama kwa muda mfupi na kupata utulivu. Mfululizo wa "Sauti ya Wahyi" kwa kuchagua baadhi ya aya kwenye Qur'ani Tukufu.
17:39 , 2025 Apr 30
Picha: Hafla ya Kiheshima ya Kufuta Vumbi Yafanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) Kabla ya Wiki ya Karamat

Picha: Hafla ya Kiheshima ya Kufuta Vumbi Yafanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) Kabla ya Wiki ya Karamat

IQNA – Katika mkesha wa kuadhimisha Wiki ya Karamat na kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Hadhrat Masoumah (SA), sherehe ya kifakhari ya kufuta vumbi ilifanyika katika haram takatifu ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad, mnamo tarehe 28 Aprili 2025.
17:27 , 2025 Apr 30
17