IQNA

Mpalestina Aandika Kitabu kwa Wanaohifadhi Qur'ani Akiwa Gerezani Israel

Mpalestina Aandika Kitabu kwa Wanaohifadhi Qur'ani Akiwa Gerezani Israel

IQNA-Ramadhan Mushahara, Mpalestina mwenye umri wa miaka 49, amechapisha kitabu kiitwacho “Qur'ani kwa Wanaohifadhi”. Aliandika kitabu hiki akiwa gereza za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel, licha ya vizuizi vikubwa vya gerezani.
21:21 , 2025 May 04
Warsha wa nchini UAE kujadili Njia za Kufundisha Qur'ani kwa watoto

Warsha wa nchini UAE kujadili Njia za Kufundisha Qur'ani kwa watoto

IQNA- Warsha ya kielimu yenye kuhusu “Mbinu za Kufundisha Qur'ani kwa Watoto: Mitazamo ya Kihistoria na ya Kisasa”  imefanyka  huko Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu.
21:07 , 2025 May 04
Mkutano wa wanaharakati wa Qur'ani kutoka Khuzestan, Iran na Basra, Iraq

Mkutano wa wanaharakati wa Qur'ani kutoka Khuzestan, Iran na Basra, Iraq

IQNA-Mkutano wa pili wa Jumuiya ya Qur'ani ya mkoa wa Khuzestan nchini Iran na mkoa wa wa Basra nchini Iraq ulifanyika mapema wiki hii.
21:03 , 2025 May 04
Ongezeko la kauli za chuki nchini India baada ya shambulio la Pahalgam

Ongezeko la kauli za chuki nchini India baada ya shambulio la Pahalgam

IQNA-Ripoti mpya ya Taasisiya India Hate Lab (IHL) imebaini ongezeko kubwa la matukio ya hotuba na kauli za chuki katika maeneo mbalimbali nchini India kufuatia shambulio la kigaidi lililotokea Pahalgam, Jammu na Kashmir, mnamo Aprili 21.
20:41 , 2025 May 04
Nchi 20 kushiriki mashindano ya Qur’ani ya kimataifa nchini Nigeria

Nchi 20 kushiriki mashindano ya Qur’ani ya kimataifa nchini Nigeria

IQNA – Nigeria inapanga kuandaa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu na kushirikisha maqari wa Qur’ani kutoka nchi 20.
19:20 , 2025 May 03
Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu Tunisia: nakala 6,000 za Qur’ani zasambazwa

Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu Tunisia: nakala 6,000 za Qur’ani zasambazwa

IQNA – Zaidi ya nakala 6,000 za Qur’ani Tukufu zimegawiwa kwa wageni katika Maonyesho ya 39 ya Vitabu ya Kimataifa ya Tunisia.
19:15 , 2025 May 03
Wasomi wajadili Nahj al-Balagha katika kongamano la Karbala

Wasomi wajadili Nahj al-Balagha katika kongamano la Karbala

IQNA – Kongamano la wasomi kuhusu hadithi za Nahj al-Balagha ilifanyika katika mji mtakatifu wa Karbala, Iraq. Idara ya Uhuishaji wa Urithi na Dar-ul-Ulum ya Nahj al-Balagha, inayohusiana na Idara ya Mfawidhi wa  kaburi takatifu la HadhratAbbas (AS), iliandaa tukio hilo.
19:06 , 2025 May 03
Shule ya Kitaifa ya Weledi wa Qiraa ya Qur'ani imezinduliwa Tehran

Shule ya Kitaifa ya Weledi wa Qiraa ya Qur'ani imezinduliwa Tehran

IQNA – Katika sherehe iliyofanyika Tehran Alhamisi, Shule ya Kitaifa ya Weledi wa Qiraa ya Qur'ani ilizinduliwa.
19:01 , 2025 May 03
Sheikh Sabri aonya kuhusu kushadidi njama za Israel dhidi ya Msikiti wa al-Aqsa

Sheikh Sabri aonya kuhusu kushadidi njama za Israel dhidi ya Msikiti wa al-Aqsa

IQNA-Khatibu wa Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) ameonya kuhusiana na kushadidi mashambulizi ya Wazayuni dhidi ya msikiti huo na mji wa Quds, na hivyo ametoa mwito wa kukabiliana mara moja na vitendo hivyo visivyo vya kibinadamu vinavyosimamiwa na utawala haramu wa Israel.
18:51 , 2025 May 03
Waumini waanza kuwasili Saudia kwa ajili ya Hija huku kukiwa na picha nadra za Kaaba

Waumini waanza kuwasili Saudia kwa ajili ya Hija huku kukiwa na picha nadra za Kaaba

IQNA – Waumini wanaokusudia kutekeleza Ibada ya Hija wanaendelea kuwasili Saudi Arabi na kupokelewa katika Msikiti Mkuu wa Makka, ambapo makundi ya awali yaliwasili mnamo Aprili 30.
17:19 , 2025 May 02
Kituo cha Maalum cha Haram ya Hadhrat Abbas chamaliza kuhesabu hati adimu 2,000

Kituo cha Maalum cha Haram ya Hadhrat Abbas chamaliza kuhesabu hati adimu 2,000

IQNA – Idara ya Masuala ya Kiutamaduni na Kielimu ya Haram ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imetangaza kukamilika kwa zoezi la kuorodhesha hati 2,000 adimu zilizohifadhiwa katika maktaba yake.
17:11 , 2025 May 02
Bunge la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu: Ramani ya Njia ya Umoja wa Kiislamu

Bunge la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu: Ramani ya Njia ya Umoja wa Kiislamu

IQNA – Mtaalamu wa masuala ya kimataifa ameuelezea mpango wa kuanzishwa kwa bunge la Qurani la ulimwengu wa Kiislamu kama ramani ya njia kwa Ummah wa Kiislamu kuelekea umoja.
17:04 , 2025 May 02
Mwanafunzi Mpalestina ambaye ni mkosoaji wa vita vya Israel dhidi ya Gaza aachiliwa huru Marekani

Mwanafunzi Mpalestina ambaye ni mkosoaji wa vita vya Israel dhidi ya Gaza aachiliwa huru Marekani

IQNA – Mohsen Mahdawi, mwanafunzi wa Kipalestina katika Chuo Kikuu cha Columbia nchini Marekani aliyekamatwa kwa kushiriki maandamano kupinga vita vya Israel dhidi ya Gaza, ameachiwa huru kutoka kizuizini.
16:47 , 2025 May 02
Waandishi habari wa Italia wapongeza huduma katika Haram ya Imam Hussein (AS)

Waandishi habari wa Italia wapongeza huduma katika Haram ya Imam Hussein (AS)

IQNA – Ujumbe wa ngazi ya juu wa vyombo vya habari kutoka Italia, uliotembelea taasisi kadhaa chini ya Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS), huko Karbala, Iraq umesifu huduma za kisasa zinazotolewa na idara hiyo katika nyanja mbalimbali, hasa afya na elimu.
16:26 , 2025 May 02
Mvulana wa Misri asiokuwa na macho wala pua amehifadhi Qur’ani

Mvulana wa Misri asiokuwa na macho wala pua amehifadhi Qur’ani

IQNA – Mtoto wa Misri aliyezaliwa bila pua na macho amefanikiwa kuhifadhi Qur’an Tukufu kikamilifu Muhammad, ambaye ana umri wa miaka 11, pia ana kipaji cha kipekee katika kusoma Qur’ani kwa kuiga mitindo ya maqari mashuhuri.
17:42 , 2025 May 01
16