IQNA – Kongamano la wasomi kuhusu hadithi za Nahj al-Balagha ilifanyika katika mji mtakatifu wa Karbala, Iraq.
Idara ya Uhuishaji wa Urithi na Dar-ul-Ulum ya Nahj al-Balagha, inayohusiana na Idara ya Mfawidhi wa kaburi takatifu la HadhratAbbas (AS), iliandaa tukio hilo.
19:06 , 2025 May 03