iqna

IQNA

gharibabadi
Jinai za Marekani
TEHRAN (IQNA)- Katibu wa Baraza la Haki za Binadamu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani haina ustahiki wa kuzungumzia suala la haki za binadamu kutokana na namna inavyokiuka kwa wingi haki za binadmau duniani.
Habari ID: 3475461    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/04