iqna

IQNA

afrika kusini
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 13 la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Afrika Kusini yalifanyika katika mji mkuu, Pretoria.
Habari ID: 3476429    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19

Mfumo wa kifedha wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Rasilimali za benki za Kiislamu barani Afrika zinatarajiwa kuongezeka kwa kiasi kikubwa katika kipindi cha miaka 10 ijayo, kutokana na idadi kubwa ya Waislamu barani humo, shirika la taarifa za kifedha la Moody's Investors Service limebaini katika ripoti mpya.
Habari ID: 3475822    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/22

Iran na Afrika
TEHRAN (IQNA)- Mjukuu wa rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yanatoa ilhamu na motisha kwa taifa hilo la kusini mwa Afrika.
Habari ID: 3475576    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/04

Ubaguzi wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Afrika Kusini imeelezea wasiwasi wake juu ya ukatili unaoendelea wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina na kwa msingi huo imetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuitambua Israel kama taifa la apathaidi au ubaguzi wa rangi.
Habari ID: 3475554    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/29

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini ambapo wamejadili masuala ya kieneo na kimataifa.
Habari ID: 3475130    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/15

TEHRAN (IQNA)- Wakaazi wa eneo moja Cape Town, Afrika Kusini, wamepewa zawadi dhifa ya futari kwa mara ya kwanza huku Waislamu duniani kote wakiwa katika mwezi mtakatifu wa Ramadan.
Habari ID: 3475117    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/12

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesisitiza kuwa, kuna haja ya kuchukuliwa hatua ya moja kwa moja dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, kutokana na jinai na mienendo yake ya ubaguzi wa rangi wa apathaidi.
Habari ID: 3474948    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/19

TEHRAN (IQNA)- Baraza la Waislamu Uingereza limetuma salamu za rambi rambi kufuatia kuaga dunia Askofu Desmond Tutu wa Afrika Kusini.
Habari ID: 3474729    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/27

TEHRAN (IQNA)- Shirika la kifedha la Kiislamu la Wahed, ambalo hutoa huduma halali za kifedha limepata leseni ya kutoa huduma nchini Afrika Kusini.
Habari ID: 3474213    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/21

TEHRAN (IQNA)- Kumeshuhudiwa ongezeko la utumizi wa huduma za Kiislamu za benki nchini Afrika Kusini kutokana na Waislamu kuzingatia zaidi mafundisho ya dini yao tukufu.
Habari ID: 3473933    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/21

TEHRAN (IQNA)- Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema hali katika Ukanda wa Ghaza inamkumbusha kuhusu hali ilivyokuwa katika nchi yake wakati wa utawala wa mfumo katili wa ubaguzi wa rangi maarufu kama Apartheid.
Habari ID: 3473925    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/19

TEHRAN (IQNA) - Jeshi la Afrika Kusini limefanyia marekebisho kanuni zake za uvaaji na sasa limewaruhusu askari wanawake wa Kiislamu nchini humo kuvalia vazi la stara la hijabu wakiwa kazini.
Habari ID: 3473600    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/29

TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa Nizamyie (Nizamiye Masjid) ni msikiti ulioko katika mji wa Midrand, katika Manispaa ya Johanesburg nchini Afrika Kusini.
Habari ID: 3473413    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/01

TEHRAN (IQNA) – Waislamu wa mjini Durban Afrika Kusini wamelaani hatua ya mahakama moja nchini humo kuamuru adhana ipigwe marufuku katika msikiti mmoja mjini humo.
Habari ID: 3473149    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/08

TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa kihistoria uliojengwa miaka 139 iliyopita umeteketea moto katika mji wa Durban, Afrika Kusini.
Habari ID: 3473104    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/26

TEHRAN (IQNA) – Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds ya mwaka huu yanatazamiwa kufanyika katika ukumbi wa Instagram na mitandao mingine ya kijamii nchini Afrika Kusini, kutokana na janga la corona.
Habari ID: 3472758    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/12

Rais wa Iran katika mazungumzo ya simu na rais wa Afrika Kusini
TEHRAN (IQNA)- Marais wa Iran na Afrika Kusini wamesisitiza kuhusu kuimarishwa uhusiano wa pande mbili katika nyanja za biashara na uchumi na pia wakasema kuna udharura wa kubadlishana uzoefu katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa corona sambamba kuboresha ushirikiano wa kiafya na kisayansi.
Habari ID: 3472711    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/28

TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Polisi Afrika Kusini Bheki Cele amewaomba radhi Waislamu nchini humo baada ya afisa wa polisi kutamka matamshi ya kuvunjia heshima Uislamu wakati akiwakamata waumini waliokuwa wamekiuka sheria za kuzuia mijimuiko kutokana na janga la corona.
Habari ID: 3472709    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/27

TEHRAN (IQNA) – Baadhi ya misikiti katika mji wa Cape Town Afrika Kusini imetangaza kufunga milango yake kwa muda ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472579    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/18

Rais wa Afrika Kusini
TEHRAN (IQNA) - Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema mapendekezo ya Rais Donald Trump kwenye 'muamala wa karne' kuhusu Palestina yanashabihiana na mfumo wa kipindi cha utawala wa ubaguzi wa rangi (apatheidi) uliowahi kutawala nchi yake.
Habari ID: 3472459    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/10