IQNA

Hafla ya kuwaaga Wairani wanaoenda Umrah baada ya miaka tisa +PICHA

Hafla ya kuwaaga Wairani wanaoenda Umrah baada ya miaka tisa +PICHA

Siku ya Jumapili, idadi kubwa ya waumini waliondoka Tehran kuelekea mji mtakatifu wa Madina ikiwa ni hatua ya kurejeshwa ushiriki wa Wairani katika ibada ya Umrah baada ya kusitishwa kwa miaka tisa kutokana na sababu mbali mbali. Kulingana na mipango, zaidi ya Wairani 5,000 watashiriki katika ibada ya Umrah katika mwezi wa Hijri wa Shawwal.
21:05 , 2024 Apr 22
Wairani wanaoenda Umrah watakiwa kuwaombea Wapalestina wa Gaza

Wairani wanaoenda Umrah watakiwa kuwaombea Wapalestina wa Gaza

IQNA - Afisa wa Hijja wa Iran amelitaka kundi la kwanza la Wairani walioelekea Saudia kwa ajili ya Hija ndogo ya Umra kuwakumbuka Wapalestina hasa wa Gaza katika dua wakiwa aktika ardhi takatifu.
21:01 , 2024 Apr 22
Miili 190 yapatikana katika kaburi la umati hospitalini Gaza baada askari wa Israel kutoroka

Miili 190 yapatikana katika kaburi la umati hospitalini Gaza baada askari wa Israel kutoroka

IQNA - Takriban miili 190 imetolewa kwenye kaburi la umati katika Hospitali ya Nasser katika mji wa Khan Younis kusini mwa Ukanda wa Gaza.
20:48 , 2024 Apr 22
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya wenye vipaji maalumu

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya wenye vipaji maalumu

IQNA - Misri inaandaa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani kwa wenye vipaji maalumu lengo likiwa ni  kukuza utamaduni wa Kiislamu.
10:44 , 2024 Apr 22
Mchambuzi wa Syria: Operesheni ya Iran dhidi ya Israel imeleta mabadiliko ya kihistoria

Mchambuzi wa Syria: Operesheni ya Iran dhidi ya Israel imeleta mabadiliko ya kihistoria

IQNA - Mwanaharakati wa kisiasa wa Syria amesema shambulio la makombora ya Iran na ndege zisizo na rubani dhidi ya Israeli mapema mwezi huu limeleta mabadiliko ya kihistoria.
10:28 , 2024 Apr 22
Mwigizaji Donnie Roelvink atangaza Kusilimu

Mwigizaji Donnie Roelvink atangaza Kusilimu

IQNA - Mwigizaji wa Uholanzi Donnie Roelvink amesilimu siku ya Ijumaa, Aprili 19, kwa kutamka Shahadah.
09:58 , 2024 Apr 22
Amiri Jeshi Mkuu Iran ashukuru majeshi kwa utendaji mzuri katika operesheni ya Ahadi ya Kweli

Amiri Jeshi Mkuu Iran ashukuru majeshi kwa utendaji mzuri katika operesheni ya Ahadi ya Kweli

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Vikosi vya kijeshi vimeonyesa taswira nzuri ya uwezo na mamlaka yao, na pia taswira yenye kupongezwa ya taifa la Iran, sambamba na kuthibitisha kuibuka kwa uwezo wa irada wa taifa la Iran katika uga wa kimataifa," akiashiria mafanikio ya majeshi ya Iran katika operesheni dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel hivi karibuni.
16:34 , 2024 Apr 21
Qari wa Algeria asoma aya za Qur'ani kwa heshima kwa watu wa Gaza (+Video)

Qari wa Algeria asoma aya za Qur'ani kwa heshima kwa watu wa Gaza (+Video)

IQNA - Picha za qari wa Algeria akisoma Qur'ani kwa ajili ya kuwaenzi watu wa Gaza zimesambaa katika mitandao ya kijamii.
16:26 , 2024 Apr 21
Qari Panahi wa Iran akisoma  aya za Sura A-Haj (+Video)

Qari Panahi wa Iran akisoma aya za Sura A-Haj (+Video)

IQNA - Mohammad Javad Panahi, qari maarufu wa Irani, hivi karibuni alisoma aya za Surah Al-Haj ya Qur'ani Tukufu.
16:17 , 2024 Apr 21
Msanii anaonya kuhusu kufifia kaligrafia ya Qur'ani

Msanii anaonya kuhusu kufifia kaligrafia ya Qur'ani

IQNA - Mwandishi kaligrafia nchini Iran ambaye ni mtaalamu wa uandishi wa maandishi ya kidini, hususan aya za Qur'ani Tukufu, amebainisha wasiwasi kuhusu kupungua kwa idadi ya watu wanaojifunza kaligrafia ya Qur'ani.
16:01 , 2024 Apr 21
Wawakilishi wa nchi 30 wanashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an ya Rwanda

Wawakilishi wa nchi 30 wanashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an ya Rwanda

IQNA - Mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yanafanyika nchini Rwanda leo Jumapili.
15:39 , 2024 Apr 21
Hatima ambayo Mwenyezi Mungu ameainisha na nidhamu ya kihisia katika Qur'ani

Hatima ambayo Mwenyezi Mungu ameainisha na nidhamu ya kihisia katika Qur'ani

IQNA – Baadhi ya mafundisho ya Qur'ani kama vile yale kuhusu kudhibi Mwenyezi Mungu mambo yote na matukio yanayotokea maishani hutusaidia kudhibiti na kurekebisha hisia na hisia zetu.
20:50 , 2024 Apr 20
Maonyesho ya Kumbukumbu ya Kubomolewa Makaburi ya Baqi katika Haram ya Imam Ridha (AS)

Maonyesho ya Kumbukumbu ya Kubomolewa Makaburi ya Baqi katika Haram ya Imam Ridha (AS)

IQNA - Maonyesho ya Kumbukumbu ya Kubomolewa Makaburi ya Baqi yamefanyika katika Haram ya Imam Ridha (AS) mnamo Aprili 17, 2024.
20:34 , 2024 Apr 20
Mbunge wa Uturuki asoma Qur'ani kupongeza Operesheni ya 'Ahadi ya Kweli' ya Iran dhidi ya Israel

Mbunge wa Uturuki asoma Qur'ani kupongeza Operesheni ya 'Ahadi ya Kweli' ya Iran dhidi ya Israel

IQNA - Mbunge mmoja wa Uturuki ameiongeza Iran kwa kutekeleza operesheni ya makombora na ndege zisizo na rubani dhidi ya utawala wa Israel hivi karibuni.
20:25 , 2024 Apr 20
Saudia yafafanua masharti ya Visa ya Umra kabla ya Hija

Saudia yafafanua masharti ya Visa ya Umra kabla ya Hija

IQNA – Serikali ya Saudi Arabia imefafanua masharti ya viza ya Umra, ikibainisha kuwa wote wanaoshiriki katika ibada ya Hija ndogo ya Umra wanapaswa kuondoka nchini humo huo kufikia Juni 6.
20:06 , 2024 Apr 20
1